Jembe jipya la Simba Dan Sserunkuma anatarajiwa kutua nchini leo kumalizana na Simba. Mganda huyo anatarajiwa kuchukua nafasi ya Mkenya Paul Kiongera ambaye ameondolewa kwenye orodha ya wachezaji wa Simba SC msimu huu kutokana na majeraha.
Wednesday, 3 December 2014
KARIBU MSIMBAZI DAN SSERUNKUMA
Jembe jipya la Simba Dan Sserunkuma anatarajiwa kutua nchini leo kumalizana na Simba. Mganda huyo anatarajiwa kuchukua nafasi ya Mkenya Paul Kiongera ambaye ameondolewa kwenye orodha ya wachezaji wa Simba SC msimu huu kutokana na majeraha.
Thursday, 5 June 2014
RICKIE LAMBERT AINGIA KITANZI NA LIVERPOOL
Rickie Lambert alikamilisha deal ya kuichezea Liverpool wiki iliyopita akiwa mchezaji wa kwanza kujiunga na kikosi hicho cha majogoo wa Anfield kwa Kitita cha paundi milioni 4.
Akiwa na umri wa miaka 32 Rickie aliyezaliwa katika jiji la Liverpool na aliyekwenye kikosi cha Uingereza kilichoko njiani kwenda Brazili, anahamia Liverpool akitokea Southampton ambako alikuwa na msimu mzuri huku akicheza mechi 39 na kufunga jumla ya magoli 14 hali akitoa ushirikiano wa magoli 10
Akiwa na umri wa miaka 32 Rickie aliyezaliwa katika jiji la Liverpool na aliyekwenye kikosi cha Uingereza kilichoko njiani kwenda Brazili, anahamia Liverpool akitokea Southampton ambako alikuwa na msimu mzuri huku akicheza mechi 39 na kufunga jumla ya magoli 14 hali akitoa ushirikiano wa magoli 10
DIEGO COSTA KUMALIZANA NA CHELSEA
Mshambuliaji anayeibukia wa Atletico Madrid, Diego Costa amekamilisha vipimo vya afya yake na Chelsea katika uhamisho unaotegemewa kufikia kisasi cha paundi milioni 32. Mzaliwa huyo wa Brazili katika jimbo la Lagarto mwenye umri wa miaka 25, ambaye ni sehemu ya timu ya taifa ya Uispania anatakiwa na kocha mkorofi wa maneno Jose Mourinho ili kuwezesha kikosi cha Chelsea kutwaa mataji msimu ujao.
Monday, 2 June 2014
Thursday, 29 May 2014
Monday, 26 May 2014
LAMPARD NA REO FERDINAND KUJIUNGA NA QPR
Kocha wa QPR Harry Redknapp anajipanga kuwarudisha kundini wachezaji wawili, Mlinzi wa kati wa Manchester Unite Reo Ferdinand (35) and Kiungo wa Chelsea aliyemaliza mkataba wake Frank Lampard (35)
Timu ya QPR imefuzu kucheza premier baada ya kuwafunga Derby kwa goli moja la dakika za mwisho. Kocha huyo anatamani kuimarisha kikosi chake kwa kusajili wachezaji watakaohimili mikiki ya ligi hiyo yenye mvuto duniani.
Timu ya QPR imefuzu kucheza premier baada ya kuwafunga Derby kwa goli moja la dakika za mwisho. Kocha huyo anatamani kuimarisha kikosi chake kwa kusajili wachezaji watakaohimili mikiki ya ligi hiyo yenye mvuto duniani.
Saturday, 24 May 2014
Tuesday, 20 May 2014
Monday, 19 May 2014
Sunday, 18 May 2014
Friday, 16 May 2014
Thursday, 15 May 2014
Wednesday, 14 May 2014
HIKI NDIO KIKOSI CHA GHANA KUELEKEA BRAZILI 2014
Ghana wanaelekea nchini Brazili wakiwa na kikosi kilichosheheni
wachezaji wenye uzoefu mkubwa. Wakiwa na kumbukumbu ya kupoteza uwakilishi
muhimu kwenye robo fainali huko bondeni kwa hayati Madiba miaka minne iliyo
pita, wanakibarua kikubwa kupambana na wenzio kwenye kundi lao la kifo (G)
Linalojumuisha wababe kama, USA, Wareno na Wajerumani.KIKOSI CHA HISPANIA SAFARINI KWENDA BRAZILI 2014
WAHISPANIA wamekuwa wazuri kwa miaka ya hivi karibuni kwenye soka la kitaifa na kimataifa.Walishinda kombe la dunia kwa mara ya kwanza miaka minne iliyopita, kama hiyo haitoshi waka twaa ndoo ya Ulaya mwaka 2008 na mwaka 2012.
Watapenda kuendelea na mdundo huo, ama kuuongezea kasi kidogo mwezi ujao nchini Brazili.
Subscribe to:
Posts (Atom)





















