Wednesday, 3 December 2014

KARIBU MSIMBAZI DAN SSERUNKUMA



Jembe jipya la Simba Dan Sserunkuma anatarajiwa kutua nchini leo kumalizana na Simba. Mganda huyo anatarajiwa kuchukua nafasi ya Mkenya Paul Kiongera ambaye ameondolewa kwenye orodha ya wachezaji wa Simba SC msimu huu kutokana na majeraha.