Thursday, 29 May 2014
Monday, 26 May 2014
LAMPARD NA REO FERDINAND KUJIUNGA NA QPR
Kocha wa QPR Harry Redknapp anajipanga kuwarudisha kundini wachezaji wawili, Mlinzi wa kati wa Manchester Unite Reo Ferdinand (35) and Kiungo wa Chelsea aliyemaliza mkataba wake Frank Lampard (35)
Timu ya QPR imefuzu kucheza premier baada ya kuwafunga Derby kwa goli moja la dakika za mwisho. Kocha huyo anatamani kuimarisha kikosi chake kwa kusajili wachezaji watakaohimili mikiki ya ligi hiyo yenye mvuto duniani.
Timu ya QPR imefuzu kucheza premier baada ya kuwafunga Derby kwa goli moja la dakika za mwisho. Kocha huyo anatamani kuimarisha kikosi chake kwa kusajili wachezaji watakaohimili mikiki ya ligi hiyo yenye mvuto duniani.
Saturday, 24 May 2014
Tuesday, 20 May 2014
Monday, 19 May 2014
Sunday, 18 May 2014
Friday, 16 May 2014
Thursday, 15 May 2014
Wednesday, 14 May 2014
HIKI NDIO KIKOSI CHA GHANA KUELEKEA BRAZILI 2014
Ghana wanaelekea nchini Brazili wakiwa na kikosi kilichosheheni
wachezaji wenye uzoefu mkubwa. Wakiwa na kumbukumbu ya kupoteza uwakilishi
muhimu kwenye robo fainali huko bondeni kwa hayati Madiba miaka minne iliyo
pita, wanakibarua kikubwa kupambana na wenzio kwenye kundi lao la kifo (G)
Linalojumuisha wababe kama, USA, Wareno na Wajerumani.KIKOSI CHA HISPANIA SAFARINI KWENDA BRAZILI 2014
WAHISPANIA wamekuwa wazuri kwa miaka ya hivi karibuni kwenye soka la kitaifa na kimataifa.Walishinda kombe la dunia kwa mara ya kwanza miaka minne iliyopita, kama hiyo haitoshi waka twaa ndoo ya Ulaya mwaka 2008 na mwaka 2012.
Watapenda kuendelea na mdundo huo, ama kuuongezea kasi kidogo mwezi ujao nchini Brazili.
Subscribe to:
Posts (Atom)
















