Monday, 26 May 2014

LAMPARD NA REO FERDINAND KUJIUNGA NA QPR

Kocha wa QPR Harry Redknapp anajipanga kuwarudisha kundini wachezaji  wawili, Mlinzi wa kati wa Manchester Unite Reo Ferdinand (35) and Kiungo wa Chelsea aliyemaliza mkataba wake Frank Lampard (35) 
Timu ya QPR imefuzu kucheza premier baada ya kuwafunga Derby kwa goli moja la dakika za mwisho. Kocha huyo anatamani kuimarisha kikosi chake kwa kusajili wachezaji watakaohimili mikiki ya ligi hiyo yenye mvuto duniani.

No comments: