Thursday, 5 June 2014
RICKIE LAMBERT AINGIA KITANZI NA LIVERPOOL
Rickie Lambert alikamilisha deal ya kuichezea Liverpool wiki iliyopita akiwa mchezaji wa kwanza kujiunga na kikosi hicho cha majogoo wa Anfield kwa Kitita cha paundi milioni 4.
Akiwa na umri wa miaka 32 Rickie aliyezaliwa katika jiji la Liverpool na aliyekwenye kikosi cha Uingereza kilichoko njiani kwenda Brazili, anahamia Liverpool akitokea Southampton ambako alikuwa na msimu mzuri huku akicheza mechi 39 na kufunga jumla ya magoli 14 hali akitoa ushirikiano wa magoli 10
Akiwa na umri wa miaka 32 Rickie aliyezaliwa katika jiji la Liverpool na aliyekwenye kikosi cha Uingereza kilichoko njiani kwenda Brazili, anahamia Liverpool akitokea Southampton ambako alikuwa na msimu mzuri huku akicheza mechi 39 na kufunga jumla ya magoli 14 hali akitoa ushirikiano wa magoli 10
DIEGO COSTA KUMALIZANA NA CHELSEA
Mshambuliaji anayeibukia wa Atletico Madrid, Diego Costa amekamilisha vipimo vya afya yake na Chelsea katika uhamisho unaotegemewa kufikia kisasi cha paundi milioni 32. Mzaliwa huyo wa Brazili katika jimbo la Lagarto mwenye umri wa miaka 25, ambaye ni sehemu ya timu ya taifa ya Uispania anatakiwa na kocha mkorofi wa maneno Jose Mourinho ili kuwezesha kikosi cha Chelsea kutwaa mataji msimu ujao.
Subscribe to:
Posts (Atom)




